Monday, August 3, 2009

UFISADI NDANI YA UMASIDA.........!!

UMASIDA ni umoja wa matibabu secta isiyo rasmi DSM , ilianza mwaka 1994 na kuwa registered 1997 society namba 8907,
Umasida iliundwa na board of director, director pamoja na department 4 ambazo ni social mobilization, advocacy, health services, finance and administration
Umasida its offer
• Maternal child health care services
• Treatment for regular diseases like malaria, diarrhoea
• Provided VCT na STI MGT
• Surgical needs, ENT and ophthalmic provide at gvt unit
Kwa mafanikio makubwa yaliyotokea mwanzoni iligundulika kuwa ni secta iliopata mafanikio makubwa kwa miaka ya mwanzoni ,
Kutokana na wrong price ya umasida ilipelekea Tanzania iwe na fund short fall 80% 2006
UMASIDA inaweza kufananishwa na taasis nyingi zilizoleta mafanikio nchi nyingi kama SEWA AND TATA /AIG in india, la equided in Colombia, serviperv in peru IFP/ SSE in bukinafaso , ila si Tanzania
Kwa kuona umuhimu wa maendeleo ya nchi yetu kunasecta nyingi ambazo hivi sasa zinaleta mafanikio kama MKUKUTA, MKUZA, AMREF. Ingawaje TACAID iliweza kuwa benet sana na UMASIDA haikuweza kutowa matunda amabayo wananchi wa dare s salaam na Tanzania mzima walikuwa wanayasubili, mfano mwaka 2005 gazeti moja la IPP liliweza kutowa habari ya Umasida kusimamisha wafanyakazi wa wili kwa financia fraud,hata ivyo haikuzaaa matunda.
Ingawaje mh: Rahisi wetu anakuwa omba omba ndani na nje ya nchi ili kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa ya kisasa ila bado wafanyakazi wake kama vile UMASIDA wanamtupa mkono.
Unaweza ukasema ufisadi upo Richmond , Tanesco , Tics kumbe kuna jungu la ufisadi ambao serikali inalinyamazia kimya na wanajifanya wanachunguza kwa kipindi kirefu zaidi .
Unaweza sasa ukafananisha na UMASIDA ivi sasa inakaribia mwaka na nusu au miwili tangia umasida iishe kabisa kwa manufaa ya wachache ambao ni top line staff ambao waliweza tumia pesa za taasisi kwa manufaa yao binafsi na kujiimalisha kimaisha, japo tume iliundwa na ikatowa ikaanza kazi kwa kumuoji mkurugenzi wa taasisi hiyo ila imechukuwa muda mrefu bila yakutowa majibu.
Kama ni taasisi ilioyokuwa itowe uduma kwa wananchi imekuwa kinyume na mategemeo na ikatowa nuduma kwa wachahe ambao nchi, wizara iliwaamini nabado inawaangalia macho je wakienda taasisi nyingine maendeleo yatakuwa wapi hapo.
Kwa upelelezi tulioufanya kipindi kichache sasa ilileta habari kuwa serikali halijalinyamazia kimya bado lipo kwenye mchakato wa uchunguzi ila si muda mrefu wahusika watafikishwa mahakamani wakiwemo head of departments, mkurugenzi na wahasibu ambao walitumia pesa za taasisi kununua magari ya galama kujenga majumba ya galama na kufanya uwekezaji tofauti uku walengwa wanakufa kwa kukosa matibabu na uduma husika.
Hata hivyo kama uchunguzi wa kesi unachukuwa muda mrefu je hizo pesa ambazo hao watu wamechukuwa je zitakuwepo, je hao watu watakuwa hawajafanya financial fraud sehemu nyingine tofauti, je uchumi na maendeleo ya nchi yatakuwepo.
Kama hatutashirikiana kufichuwa ufisadi kamwe hautaweza kuisha , kuna taasisi nyingi sana ambazo zimekufa kama umasida na serikali inaangalia macho,
Kama walengwa hawatafaidika na mambo ambayo walistahiri CCM mnajipalilia motto mgumu sana , sio kama watu hawaoni nini kinaendelea tuansubili utekelezaji wa serikali yetu tulio iamini na kuitegemea kwenye maendeleo na kukomesha ufisadi

1 comment:

Anonymous said...

jamani huku UMASIDA kwani kunakitu gani ambacho kimejificha , hatukielewi waleta habari ebu tupeni habari za uwakika au serikali mnalijuwa ili ebu tupeni kama mlivyotupa TANESCO tunasubili